KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 2 August 2013

SIMBA NA YANGA WACHEZAJI WA AFRIKA MASHARIKI NDIO GUMZO LAKE,KWA NINI WASIWAANGALIE WA AFRIKA YA MAGHARIBI?



Mabeki wa wawili wa kimataifa kutoka Burundi na Uganda wamewasili nchini leo tayari kwa ajili ya kukamilisha usajili wao na Wekundu wa msimbazi Simba msimu huu.
Afisa habari wa timu hiyo Ezekiel Kamwaga amesema kuwa beki wa kati Joseph Owino aliwasili nchini asubuhi ya leo na jioni hii amewasili beki Girbert Kazi kutoka burundi
kwa upande mwingine Kamwaga amesema kuwa taarifa za kusajiliwa na Yanga kwa kiungo mwenye kasi raia wa Uganda anayecheza soka nchini Vietnam Moses Oloya si za kweli kwani mchezaji mwenyewe amewahakikishia atatua katika timu hiyo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS