KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Monday 28 September 2020

TUNDU LISSU AKUTANA NA POLISI NYAMONGO MGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA TUNDU LISSU AZIDI KUKUSANYA WATU WAPENDA KUMSIKILIZA KUTOKANA NA CCM KUWAZUIA KATIKA MIAKA MITANO BILA MIKUTANO SASA WAPO HURU KUMSIKILIZA BILA FIESTA

Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema Tundu Lissu akiwaomba kura wananchi walikuwa na shauku ya kumsikiliza.Chadema chama kinachokuja juu kwa wafuasi kufika bila Fiesta ni kinawatishia Amani CCM Mpaka sasa kampeni zinaenda vizuri ila kuna utishaji unakuja ili kuwatia hofu wananchi na wananchi wakichoka Amani itapotea


 

KAMPENI ZIKIWA ZIMETANDA KILA KONA YA NCHI LEO RAIS MAGUFULI YUPO IRINGA AWAOMBA KURA WATU WA IRINGA NA KUWAAMBIA NDIO MUDA WAO WA KUCHAGUA KUTOA UPINZANI

Rais akiwahutubia watu wa Iringa kwenye uwanja wa Samora Iringa mjini akiwasitizia wachague CCM ila waweze kuwatoa wapinzani yaani kwa tafsiri ya kawaida ni kuakikisha CCM wanashinda kwa kishindo ili kusiwepo na Upinzani jambo ilo sio nzuri na ndio maana Wabunge na madiwani walinunuliwa ili kuua upinzani.Katika maisha ya sasa upinzani ni muhimu kwa sababu ya Demokrasia.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS