KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 2 August 2013

MICHEZO BILA WATOTO AU VIJANA HATUNA TIMU HII NI BAKET BALL ENZI HIZO HII TIMU BAADAYE ILIWEZA KUCHUKUA KOMBE LA AFRIKA MASHARIKI NA KATI

Mpira au mchezo wowote unaanza kwa watoto aAmina Ahmed Hili chama lilikua bonge la chama aisee...tulikua tunaingia uwanjani na ngoma,wengine hadi tulikua tukirudi hme unakuta umesubiriwa mlangon maana tulikua tukiomba ruhusa tukanyimwa bac tulikua tunatoroka,lolu vijana tunavyosema.Hii ilikuwa ni timu ya chini ya miaka 18 chini ya kocha Del ambaye baadaye ilikuja kuchukua komba la Afrika mashariki na kati basket ball.kuna mchezaji mmoja nimechukua Facebook

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS