KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 30 October 2020

WATANZANIA HAWATAKI VYAMA VINGI KUTOKANA NA UTAWALA WAO KWENYE VYAMA MFANO CHADEMA RUZUKU WALIPATA LAKINI HATA OFISI KUJENGA MIKOANI HAKUNA

Chadema hawakujua nia ya Ccm kuwafutilia mbali upinzani waliongoza kukimbia Bungeni Kususia vikao vya bunge kwa kufikilia wananchi wanawaelewa na kuwapenda

TUNDU LISSU ASHINDWA LICHA YA WANANCHI KUMPA IMANI ATASHINDA.WATANZANIA WALIO WENGI HAWAPENDI UPINZANI KWA KUONA KAMA WAO NI MAFISADI MAKUBWA

LISSU ukujifunza ya Mrema Watanzania ni Wajumbe Watanzania hawataki fujo zilizokuwa zinafanyika Bungeni Watanzania wanataka unyekevu na mengine hawataki lugha chafu Watanzania walio wengi hawaamini kama upinzani unaweza kuongoza nchi kwa kuuliza mbowe atakuwa waziri mkuu,Lema atakuwa Waziri wa Fedha Watanzania walitaka kusikia Hoja za wabunge wa Chadema waliokimbia Chadema na kutoa matatizo ya Mwenyekiti Mbowe ilibakia kimya na wananchi kufikilia ni kweli chadema wanatumia madaraka vibaya

RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ASHINDA KWA KISHINDO 84 ASILIMIA NDIO ANGUKO LA UPINZANI TANZANIA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS