KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 28 August 2013

TANZANIA INAHITAJI MAZOEZI MAKUBWA YA KIJESHI,KUNA SABABU YA UGANDA NA RWANDA KUJITOA KUTUMIA BANDARI YA DAR ES SALAAM.

 Rais Museveni Uganda na Kagame Rwanda wanaSIRI yao.
Ninapenda kuzungumzia suala la usalama kwa upande wa nchi za maziwa makuu kama waswahili wanavyosema.Niliwahi kushiriki mkutano wa amani London katika jumba la bunge la Uingereza na kukutana na Profesa kutoka Kongo ambaye alizungumzia suala la Rwanda kushiriki katika mapigano ya Kongo.
Suala lile lilileta hisia kali kiasi kwamba wenzetu weupe walimwita Profesa na kukaa naye kwa maelezo zaidi na kumtaja Kagame anavyotumia wakuu kuongoza waasi wa serikali ya Kongo.
MUHIMU KWA TANZANIA kuajiandaa kwa nguvu zote ili adui aone uwezo na sio kututania tania.Tujifunge mikanda tusione ni mchezo mchezo,hawa jamaa wawili ni marafiki au ndugu wa damu kwa hiyo tusifanye mchezo.
Tukumbuke pia ya IDD AMINI Nyoka  ni kumkata kichwa tu kabla ajaruka na kukuuma
 Katika mkutano huu ulitukutanisha watu kutoka mataifa mbalimbali na ulikuwa na maelezo ya watu wa Kongo wakiomba msaada kwa ajili ya kuwawekea vikwazo Museveni na Kagame.
Profesa katika picha hapo alikuwa akitafuta vielelezo na picha za viongozi wanaoendesha jeshi la waasi wa Kongo kutoka Rwanda.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS