KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Sunday 25 August 2013

VITA,VITA ,VITA SYRIA IPO HATARINI KUSHAMBULIWA NA MAREKANI,UINGEREZA NA UFARANSA BAADA YA KUTUMIA SILAHA ZA SUMU KUWAUA WANANCHI WAKE.

Viongozi wakuu wa kwanza Hollande Francois Ufaransa,Obama Marekani na Waziri mkuu wa Uingereza Cameron wamefanya mazungumzo kwa kutumia njia za simu kuelezea hatua gani wazichukue,lakini uhamuzi mkubwa ni kuishambulia Syria.Mama huyu ni kiongozi wa Ujerumani Mikel Angela.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS