KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 20 October 2022

WAZIRI MKUU ALIYEJIUZULU BORIS JOHNSON ANAITAJIKA AWEZE KUREJEA KWENYE SERIKALI AMBAPO ALIJIUZULU KUTOKANA NA KASHFA YA KUKIUKA SHERIA ZA COVID

Boris Johnson antajwa kuwa mmoja wapo kugombea nafasi ya Uwaziri mkuu tena akiwa na kura nyingi zilizopigwa kwenye mtandao wa serikali ya Uingereza

WAZIRI MKUU ALIYETAWALA UINGEREZA KWA SIKU 44 AJIUZULU UWAZIRI MKUU BAADA YA KUPUNGUZA KODI ILIYOPELEKEA UINGEREZA FEDHA YAKE KUPOROMOKA ANAITWA LIZ TRUSS

Waziri Mkuu aliyetawala nchi kwa muda mfupi sana Liz Truss wa Uingereza amejiuzulu baada ya kuleta sera zilizoendeleza Wawekezaji kukuimbia Nchi na kusababisha pesa ya Uingereza kushuka.Tatizo la Uingereza ni kwamba ukikosea wwew ni kuondoka sio kuwepo tena kwenye serikali. Hii ni funzo kwa nchi zetu za dunia ya Tatu ambazo Waziri wananharibu nchi lakini bado tunaendelea kumwachia kazi aendelee na bado wananchi wanaumia na hakuna jipya linaloendelea
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS