KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Sunday 19 July 2020

TOSAMAWE MATUKIO YA WIKI-CORONA VIRUS INAVYOSUMBUA DUNIA UCHUMI KUSHUKA NA NJAA KUWEPO MAELEZO YA WATAALAMU


 Kutokana na janga kubwa lililozikumba nchi nyingi duniani ni kwamba sasa Uchumi unazidi kudidimia asa kwa zile nchi zinazotegemea misaada kutoka nje yaani nchi za dunia ya tatu.
Tukija kwenye uchumi wa nchi zilizoendelea wao wana mbinu nyingi za kuwasaidia watu wao kwa kuwapa msaada wa mikopo na pesa za kujikimu sasa kwa nchi za dunia ya tatu watu wanajiendesha wenyewe.
Utalii unazidi kudidimia kwa kasi kwa sababu Watalii wananogopa kusafiri na Oda zote zilizokwisha lipwa kwa ajili ya Utalii kwa mfano serikali ya \uingereza imewaambia Mawakala wa utalii kuwarudishia wateja wao pesa.Hii ni pigo kbwa kwa utalii kwa nchi nyingi zikiwemo za Afrika Asia na Amerika kusini.
Utalii wa kutumia Meli umeisha punguza wafanyakazi 200,000 ili kwendana na wakati kukiwa hakuna watu wanao safiri kwa kutumia Meli.
Tuzidi kumwomba Mungu atuepushe na hili gonjwa linalosumbua dunia.


No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS