KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 15 July 2020

MHESHIWA MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM ANAGOMBEA NAFASI YA KUTEULIWA ILI AWEZE KUWKILISHA WANANCHI WA WILAYA YA KIGAMBONI

 Hatimaye mkuu wa mkoa wa dar es salaam awania jimbo la Kiganboni,hatua nzuri lakini anapingana na maagizo ya mkuu wake wa kazi aliyesema wakuu w mikoa wilaya bado wananhitajika kuwa kwenye nafasi zao.Hatakaye kihuka masharti atamtoa kwenye nafasi yake ya ukuu wa mkoa au wilaya.Sasa Makonda atenguliwa ukuu wa mkoa na kuwekwa mwingine.Hatuna wasiwasi Makonda atakuwa wa kwanza kupata hiyo nafasi na kuwakilisha wananchi wa Kigamboni.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS