KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 28 August 2014

UINGEREZA SIASA KAMA TANZANIA-MBUNGE WA CONSERVATIVE AHAMIA UKIP SASA HIVI AKISEMA CHAMA CHAKE CHA ZAMANI KIMESHINDWA KUTEKELEZA ILANI ZA UCHAGUZI IKIWA SUALA LA UHAMIAJI JUMUIA YA ULAYA


Mbunge wa Conservative ambaye hivi punde ametangaza kujitoa kwenye chama cha Conservative na kujiunga na UKIP Mbunge Douglas Carswell wa Essex ndiye gumzo la siasa kwa sasa hapa Uk.Mwenyekiti wa UKIP Mr Farage anafuraha sana kwa sababu sera zake za Jumuia ya Ulaya ndizo chanzo cha watu wa Uingereza kukipenda chama hiki chenye mvuto kwa Wananchi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS