KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Saturday 23 August 2014

IS JESHI HILI LINALOPIGANIA SELIKARI YA KIISLAM KWA KUUA WATU KWA KUWAPIGA RISASI HUKU WAMEWAFUNGA KAMBA NA KUWALENGA SHABAHA WATU WALIOWATEKA NI HATARI LAKINI HUKIFUATILIA SANA SADDAM HUSEIN ALIKUWA AKIFANYA HIVYO KWA KUWAUA WAKURD

Kiongozi wa IS Abu Bakr al-baghdadi aliyesomea Chuo kikuu cha Baghdadi cha Islamic science ndiye mkuu wa IS anaendesha ili kundi lenye zana kali za Vita linalowasumbua watu wa Magharibi.Lakini lina mwisho wake.Damu za watu ni nzito kulilo maji.


Kumchinja binadamu kama kuku inasikitisha sana lakini kila kitu tunamwachia Mungu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS