KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 28 August 2014

EBOLA INAVYOWASUMBUA WAAFRIKA KIASI CHA MAELFU KUPOTEZA MAISHA.WATAALAMU WANASEMA KUGUSANA NDIO NJIA KUBWA YA KUAMBUKIZANA KWA UGONJWA HUU LAKINI SISI TUTAPONA KWA NGUVU ZA MUNGU.PICHA YA CHINI INAONYESHA MGONJWA MWINGEREZA ALIYEAMBUKIZWA SIERRA LEON AKISAFIRISHWA KURUDI UINGEREZA KWA MATIBABU SASA ANAENDELEA VIZURI KWA MATIBABU



Ugonjwa wa Ebola unatishia Maisha ya Wa Afrika kwa sababu Afrika haina mipango dhabiti ya Afya.Cha sikitisha ni pale viongozi wenye madaraka makubwa wanatibiwa Ulaya au Marekani na Nchi za Asia kama India.Kutokana na hili inamaanisha kwamba kiongozi mkuu wa Nchi hana mipango ya kuendeleza Afya kwa kujua ataenda kutibiwa Ulaya.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS