KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Tuesday 26 August 2014

DI MARIA AMEKUWA KIVUTIO KWA MAN UNITED KUTOKANA NA UWEZO WAKE WA KUWEZESHA TIMU KUFUNGA NA KUSAIDIA TIMU NDIO KIGEZO KINACHOTUMIKA KWA MCHEZAJI KUWA NA SOKO KUBWA ULAYA.MPIRA WA MIGUU NI SAYANSI INAYOTAKIWA KUFANYIWA KAZI KATIKA NCHI YETU SIO MANENO MANENO NI KUANDAA WATOTO KUWA WACHEZAJI


Di Maria ni mchezaji bora kuliko hawa wachezaji wengine kutokana na mchango wake akiwa uwanjani.
Bale Ronaldo Suarez Neymar Rodriguez Di Maria
Appearances 44 47 37 41 38 52
Goals 22 51 31 15 10 11
Minutes per goal 151 79 105 189 290 342
Shots on target 44 134 87 45 29 46
Shooting accuracy % 43 57 53 54 42 60

Hii ni uwezo wa wachezaji wakiwa uwanjani kufunga goli,kutoa pasi ndio inayomsaidia mchezaji kuwa na soko kubwa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS