KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Saturday 23 August 2014

SCOTLAND WANAVYOTAKA KUJITENGA NA UK KWA MAELEZO YA KUNYONYWA NA LONDON,JUMATATU HII TENA NI DEBATE KATI YA SALMOND WAZIRI MKUU WA SCOTLAND NA ALISTAIR ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA

Debate ya kwanza Waziri mkuu anayeendesha kampeni za kuijtenga alishindwa baada ya maelezo ya Pesa gani watatumia wakijitenga na Uk yeye anasema watatumia Pound wakati Uk wanasema wawe na pesa yao.Ila watu wengi hawataki kujitenga na Uk.
Sasa kazi ipo kwa Waziri mkuu Salmond hakishindwa na chama chake kitakosa kura katika chaguzi zijazo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS