KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 26 December 2013

WATU KUTOKA AFRIKA WANATUMIA KILA NJIA ILI WAWEZE KUINGIA ULAYA HAWA NI WATU WA ERITEA WAKIWA HAI BAADA YA WENZAO ZAIDI YA WATU 300 KUFA MAJI BAADA YA BOTI WALIOKUWA WAKISAFIRIA KUTOKA AFRIKA KUZAMA KATIKA BAHARI YA MEDITTERANIA

Hawa vijana kutoka Eritea walioponea chupu kuzama katika bahari ya Mediterranean waliokolewa na vyombo vya usalama vya Italia katika kisiwa cha Lempasuda Italia wakiwa na furaha na Huzuni baada ya kuingia Ulaya.Maisha mapya Ulaya ni tegemeo lao na wameisha fika hawana tatizo watakaa kwenye Ukimbizi mwishowe watakuwa raia.Ninawaangalia hawa jamaa wanapendana sana wenyewe na ukitaki wasiongee Mkaribisha Muethiopia hawataki kuongea naye ndio walivyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS