KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 27 December 2013

JASUSI AU MKARANDASI ALIYEKUWA AKIFANYA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UPELELEZI LA MAREKANI(ALIYEASI)SASA ANAISHI URUSI KAMA MKIMBIZI,ATOA SALAMU ZA MWAKA MPYA AKISEMA HAKUNA SIRI YAANI WIGO KWA VIJANA KUTUMIA MITANDAO MAANA WANAANGALIWA YAANI HAKUNA(WIGO)

Kijana Mkandarasi wa NSA National Security Agency Edward Snowden ambaye ameharibu SIRI za kijasusi za USA kwa kueleza wanavyokufuatilia Mawasiliano ya Simu za Viongozi kama Chancellor wa Ujerumani,Marekani inavyofuatilia EU na hakuna Wigo wowote unavyotumia Internet watu wanajua kila kitu wanaweza kuona unachofanya iwe Siri.
USA wanamwita Mkosaji na wakimkamata hukumu yake ni Kifo kutokana na sheria ya Marekani.Sasa anaishi Urusi kama mkimbizi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS