KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 26 December 2013

UINGEREZA SASA KUONGOZA KWA UKUAJI WA UCHUMI ULAYA YAWAPITA WAJERUMANI NA WAFARANSA SASA POUND JUU


Kutokana na wataalamu wa Uchumi duniani watangaza Uingereza ndio nchi yenye uchumi mkubwa katika bara la Ulaya,ikizipita Ujerumani na Ufaransa.
Sababu za Uingereza kuwa juu kiuchumi ni kwamba
-Ukuaji wa Idadi ya Watu.
-Nguvu ya biashara nje ya Ulaya.
-Kupungua kwa Utegemezi KUKOPA.
Tosamawe Naongezea Ubepari Mkubwa.
Ubepari unauzuri wake katika Uchumi Wachache kumiliki njia za Uchumi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS