KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 16 October 2013

UFUNGUZI WA WADI MPYA JIJINI IRINGA.MKE WA RAIS MAMA KIKWETE ALIFUNGUA WADI ILIYOJENGWA WA HISANI YA WANANCHI WA ITALIA.HOSPITALI YA MKOA WA IRINGA ILIJENGWA PIA NA WAHISANI KUTOKA ITALIA.





Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifungua rasmi jengo la wodi ya watoto katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa. Hospitali hiyo inahudumia pia wananchi wa Mkoa wa Njombe.  Wengine katika picha hiyo (kulia kwenda kushoto) ni  Baba Askofu Tarciusius Ngalalekumtwa wa Kanisa Katoliki Jimbo la Iringa akifuatiwa na Balozi wa Italia hapa Tanzania Mheshimiwa……..,Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dkt. Christine Ishengoma, Mama Salma, Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali Mama Mofore na wa mwisho ni mmoja wa wageni waliotoka nchini Italia.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS