KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 16 October 2013

MSIBA WA KIMATAIFA WAAMIAJI KUTOKA AFRIKA NA SYRIA WALIOKUWA NA NIA YA KUINGIA ULAYA KWA KUTUMIA NJIA YA BAHARI YA MEDITEREAN LAKINI SAFARI YAO ILIISHIA KUZAMA KWA BOTI YAO NA KUPELEKEA VIFO VYA MAMIA YA WATU


Papa naye alienda kuwapa pole wale waliopona katika janga hilo.Huu ni upendo ambao unafaa kwa kuwasaidia hawa Wahamiaji wanao kimbia vita,njaa na majanga mbalimbali.
Hii ni njia mojawapo ya kuwapenda na kuwaenzi Watoto kwa kuwawekea Tedd ina maana UPENDO kwa watoto.Watoto wanatakiwa kulindwa na kupendwa maana hawajui kinachofuata au kilichopita.
Haya ni masanduku yenye miili ya watoto waliofariki baada ya boti kuzama karibu na visiwa vya Sicilly Lempodusa yakiwa yamepambwa Teddy kuonyesha UPENDO kwa watoto wasio na hatia hawa KWELI INAUMA.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS