KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 17 October 2013

KOCHA WA ENGLAND ROY HODGSONS ALIKUWA HANA RAHA KATIKA KIPINDI CHOTE BAADA YA KUANZA KUIFUNDISHA ENGLAND MAANA WAPENZI WA MPIRA WANATAKA USHINDI.

Kocha Roy Hodgsons kocha ambaye hakuwa na furaha wakati timu yake ya Taifa ya England ilipokuwa na nafasi finya ya kuingia kombe la dunia baada ya kutoka sare na Montenegro ambapo wachezaji wa zamani walimlaumu sana kocha wa timu hiyo kwa kuendesha isivyo timu hiyo.Bahati nzuri sasa kocha Roy analia kivulini hakuna matata.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS