KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Saturday 11 May 2013

BRITAIN'S GOT TALENT LEO WAPATA WATANZANIA MAMA NA MWANA WANAJIHITA TANZIE SHAKERS WAJITAMBULISHA NI KUTOKA TANZANIA.

  Mama na Mwana wakiwa katika mashindano ya kutafuta mwenye kipaji wakiojiwa na Mtangazaji wa ITV baada kupita hatua ya kwanza.
 
Akipokea kura kutoka kwa majaji.Majina yao sijapata nawatafuta,ila wanajihita TANZIE shakers.


Mama hapo akimchezea Jaji Simon kiuno kata,iliwafurahisha sana watazamaji walishangilia sana.
 Jaji Simon aliwakubali
Jaji Elisha naye aliwakubali

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS