KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Sunday 30 December 2012

INDIA NCHI YENYE UVUNJAJI WA SHERIA KAMA AFRIKA AU NCHI ZA DUNIA YA TATU

 
ALIYEBAKWA AZIKWA INDIA.FUJO ZIPO PALE WANANCHI WAANDAMANA.
 
India nchi ambayo inasifika kwa kutoa wataalamu wa sheria lakini nchi hii imegubikwa na vitendo vya rushwa mpaka inatishia amani.
Nilienda kwenye duka la Asian ndio Wahindi na nilikuwa natafuta vitabu vya mtoto kuongea nao wakanionyesha vitabu,wakaniambia angalia kwenye kabati nikaangalia na kukuta vitabu vya Polisi na matatizo ya Rushwa nilishangaa sana lakini nikakumbuka zile sinema za Amitha Banchan wakionyesha Polisi wanavyopewa Rushwa na majambazi.
Tatizo la Ubakaji kwa vijana wa Kike limewaingiza katika tatizo kubwa la uvunjaji wa amani. India nchi yenye kesi nyingi za ubakaji lakini hazina hukumu.
 
 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS