KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Tuesday 18 December 2012

BAADA YA AJALI MBAYA BWANA HARUSI AFUNGA NDOA MBEYA


  1.  Bwana harusi Emmanuel Mwangosi na Bibi harusi Magreth Ntebe wakiwa na furha ya huzuni lakini ndoa ilikwisha fungwa,Mungu apewe sifa maana Bwana harusi alipata Ajali mbaya bahati nzuri aliumia.Tunampa pole na maisha mema ya ndoa.
Ajali ambayo iliyompata bwana Emmanuel Mwangosi,watu hawakujua jamaa kapona lakini Mungu ni mkubwa jamaa aliumia na kisha kufunga ndoa yake kanisani na majeruhi.
Picha na Mbeya yetu Blog.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS