KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Monday 24 December 2012

CHRISTMAS NI SHEREHE INAYOSHEREKEWA KWA KULA CHAKULA CHA CHRISTMAS YAANI BATA MZINGA,VIAZI MVIRINGO,KAROTI,VIKABICHI VYA MVIRINGO,GRAVI, PUDDING NA CREAM AU CUSTARD

Sherehe yoyote ni mlo na vinywaji kama vile Pilau,wali wa maji na kuku hivyo ndio vyakula vyetu,ukienda nchi zingine nao wanachakula wanasema vya jadi na ni lazima viwepo ili  sherehe ifanyike kama Watu wa Ulaya ni lazima kuwa na Bata mzinga.Picha hiyo hapo juu ni chakula cha Christmas kwa wenzetu Waingereza. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS