KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Sunday 17 June 2012

TOSAMAWE NA MWENZI WANGU TULIPOWAKILISHA NCHI YETU KWENYE MKUTANO EUROPEAN LEADERSHIP AND HUMAN RIGHTS : PROTECTION OF THE UNEMPOWERED AND THE DISPOSSESSED KWENYE JUMBA LA BUNGE UINGEREZA

Waheshimiwa wakingojea kukuruhusu ukiwa na Pass tu kuingia ndani ya jumba la Bunge la Uingereza. 

Kazi ya kuingia House of Parliament ilianzia hapa ni Alistidia akiingia kwenye viwanja vya Bunge tayari Ukaguzi wa Polisi na hapo chini ni Tosamawe nikitafakari yaani kuchoka kusimama kungojea foleni ya ukaguzi.
Ndani ukaguzi ni mkubwa zaidi ya Uwanja wa Ndege,unavua mpaka koti,Bag yangu ilichukuliwa na kupimwa kama kuna harufu ya Bomu,ilo ndio jengo la Bunge la Uingereza kuingia ndani.Yote ni ulinzi

Foleni ya Ukaguzi,tulikuwa watu kama mia mbili ,mimi nilichoka kabla kuingia,lakini yote ni usalama.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS