KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Sunday 10 June 2012

JE WAJUA SIRI YA VAZI LA KICHIFU LA WAHEHE LILIKOTOKA.


Vazi hili linalovaliwa na Wahehe asili yake ni Waarabu,Chifu Mkwawa alikuwa na urafiki mkubwa na Waarabu kwa ajili ya biashara.
Chifu Mkwawa alifundishwa kiarabu na alikuwa anaandika Kiarabu ukitembelea Makumbusho ya Kalenga kwenye Ikulu iliyokuwa ya Mkwawa utaikuta barua aliyoandika Mkwawa kwa Wajerumani ya kuwazuia Machifu wengine wasiingie katika maeneo yake.  

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS