KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Sunday 1 June 2014

ENGLAND TIMU WASAFIRI LEO,MTU MMOJA ALITAKA KUZAMIA AKIWA AMEVAA SUTI SAWA NA WACHEZAJI WA TIMU YA ENGLAND

 Comedian kutoka Liverpool alitaka kuzamia safari ya timu ya England kwenda Miami kwa ajili ya mazoezi ya okombe la duniani.Gerald aliakikisha hakuna mzamiaji walimtoa nje na Polisi hapa Johnson wa Liverpool akicheka

Wachezaji wa England wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kusafiri kwenda Miami Marekani leo.

 Picha ya pamoja ya England timu

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS