KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 20 October 2022

WAZIRI MKUU ALIYETAWALA UINGEREZA KWA SIKU 44 AJIUZULU UWAZIRI MKUU BAADA YA KUPUNGUZA KODI ILIYOPELEKEA UINGEREZA FEDHA YAKE KUPOROMOKA ANAITWA LIZ TRUSS

Waziri Mkuu aliyetawala nchi kwa muda mfupi sana Liz Truss wa Uingereza amejiuzulu baada ya kuleta sera zilizoendeleza Wawekezaji kukuimbia Nchi na kusababisha pesa ya Uingereza kushuka.Tatizo la Uingereza ni kwamba ukikosea wwew ni kuondoka sio kuwepo tena kwenye serikali. Hii ni funzo kwa nchi zetu za dunia ya Tatu ambazo Waziri wananharibu nchi lakini bado tunaendelea kumwachia kazi aendelee na bado wananchi wanaumia na hakuna jipya linaloendelea

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS