KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Tuesday 4 January 2022

RAIS SAMIA LEO AHUTUBIA WANANCHI KERO ZA SPIKA WABUNGE ZIMEMWEKA KUWA MTU ALIYEMWAMINI NDIYE MUONGEAJI OVYO

Sakata la Spika wa Bunge la Tanzania lilnalosemwa alina meno linazidi kujionyesha baada ya Spika Job Ndugai kuelezea matatizo ya kukopa huku akimuelekezea Rais Samia anakopa na kuingiza nchi kwenye madeni. Job Spika aliongea ukweli lakini aliongelea sehemu hisiyo takia ilitakiwa azungumzie Bungeni kwenye vikao vyao,kutokana na hilo Job Spika anatakiwa kujiuzulu kwa manufaa ya nchi kwani hatuna imani naye kama Rais kamsema adharani kwa wananchi wote ni aibu kuwaongoza Wabunge huku akiwa hana kasoro nyingi kiongozi. \Spika jiuzulu kwa heshima yako uwe kama Wahehe hawapendi kusemwa na mtu mzima

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS