KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 30 October 2020

TUNDU LISSU ASHINDWA LICHA YA WANANCHI KUMPA IMANI ATASHINDA.WATANZANIA WALIO WENGI HAWAPENDI UPINZANI KWA KUONA KAMA WAO NI MAFISADI MAKUBWA

LISSU ukujifunza ya Mrema Watanzania ni Wajumbe Watanzania hawataki fujo zilizokuwa zinafanyika Bungeni Watanzania wanataka unyekevu na mengine hawataki lugha chafu Watanzania walio wengi hawaamini kama upinzani unaweza kuongoza nchi kwa kuuliza mbowe atakuwa waziri mkuu,Lema atakuwa Waziri wa Fedha Watanzania walitaka kusikia Hoja za wabunge wa Chadema waliokimbia Chadema na kutoa matatizo ya Mwenyekiti Mbowe ilibakia kimya na wananchi kufikilia ni kweli chadema wanatumia madaraka vibaya

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS