KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 22 April 2020

WAZIRI WA MADINI ATAJA VIPAUMBELE 11 VYA KUONGEZA MAPATO YA MADINI NCHINI


 Dodoma,waziri wa madini Mh Dotto Biteko amesema katika mwaka 2020/21 Wizara itaongeza ukusanyaji wa maduhuli yatokananyo ya rasmali ya madini .katika kuimarisha ukusanyaji wa mapatoya serikali wizara imepanga kukusanya shilingi Bilioni 547.7ikilinganishwa na shilingi bilioni 476.38 kwa mwaka 2019/2020 sawa na ongezeko la asilimia 14.98alisema Biteko.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS