KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 22 April 2020

ASKOFU KATOLIKI HAZUIA WAUMINI KWA SABABU YA CORONA

Askofu wa Miwemugizi wa kanisa katoliki afafanua kuzia ibada kwa waumini kutokana na ugonjwa wa corona.
Tukifuatilia suala la Corona tunaambiwa tukae mbali mita 1 au mita mbili ili tusiambukizane haya ni masharti ya shirika la Afya duniani.Kwa askofu kuzuia hilo ni muhimu ila kwa serikali bado hawajatangaza kuzuia.
Tuzidi kuomba Mungu kwa kukaa mbali mbali waumini tutumie Ujuzi aliotupa Mungu kwa kutambua maagizo na kuona matatizo yanayotokea kwa watu wa nchi zingine maana madhara yake ni makubwa. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS