KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Wednesday 22 April 2020

BENKI KUU YA TANZANIA YATOA MAELEKEZO KWA WANANCHI WANAENDA BENKI KUVAA BARAKOA

BOT imewataka wananchi wote wanaoenda Benki Kuu kuvaa barakoa kujikinga na maambukizi ya Corona.Kwa hali ya sasa kuvaa barakoa ni jambo la muhimu kujikinga na Corona maana maambukizi yanapitia hewa.
Kutokana na msemaji wa Benki Kuu hili jambo ni muhimu kwa Afya ya watu wote wafanyakazi na wateja wa benki kuu.Tuige mfano huo wa Benki Kuu kwa sababu hatujui ni nani kaambukizwa na nani mzima hana corona.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS