KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Saturday 25 April 2015

AJALI ZITAENDELEA KUTOKEA MPAKA MADEREVA WOTE WATAKAPO FUNDISHWA SOMO LA BUSARA TU MAANA BILA BUSARA HAKUNA KITU

 Hii ni hatari lakini watu wanaona ni vichekesho maana hujui kama utafika safari yako
Hapa dereva anawapita wenzake kwa kuonyesha uwezo wa injini ya basi kwamba ni kubwa ndio tatizo
Tatizo hapa ni taa ya kumruhusu huyu apite maana yake anaonyesha naye gari lake ni injini kubwa kwa hiyo ajali zitaendelea tu.Picha kwa Hisani ya Michuzi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS