KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Tuesday 16 December 2014

HHARON MONSI AHITINGISHA AUSTRALIA SYDNEY KWA MASAA 16 GAIDI LILILO KUWA NA KESI ZAIDI 47.HARON ANAJULIKANA KAMA MNAJIMU NA MGANGA WA KUANGALIA NYOTA ALIONEKANA KAMA SIO TISHIO KWA AUSTRALIA SASA MWISHO WAKE UMEFIKA NI FUNZO KWA NCHI ZINGINE


Haron Monsi mkimbizi aliyeingia Australia mwaka 1996 na kupinga serikali ya Australia kupeleka wanajeshi wake Afghanistani,juzi aliteka Hoteli na wateja wa Hotel zaidi ya masaa 16 kisha kuuwawa na polisi na watu wawili kufariki ni pigo kwa wananchi wa Australia
Mwanamke akikimbia baada ya kutoroka kutoka kwa gaidi aliyewateka ndani ya Hotel jijini Sydney.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS