KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Saturday 20 July 2013

MCHEZAJI AFUNDWA MTOTO WA DIEGO SIMEON NI GIOVANNI KABLA YA KUTIA SAINI MKATABA ALIAMBIWA AKANYOE NYWELE

 Mtoto wa Diego Simeon anayechezea timu ya vijana wa chini miaka 18 Arjentina,baada ya kunyoa stail hiyo aliambiwa aende kunyoa nywele la sivyo hatatia saini mkataba wa kuingia kwenye timu iliyomsajiri kwa mkataba wa miaka 2.
 Taribo West naye staili yake akiwa na miaka 40 hii picha yake ikionyesha staili yake haifai kwenda kwa Papa.
 Staili ya Raheem Sterling akiwa anaenda shuleni kwake hii stail inafaa kwa shule
Robert Baggio akiwa na stail yake ya nywele inayofaa kwenda kwa Papa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS