KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Monday 8 July 2013

MANDELA SIKU ALIPORUDI TENA GEREZANI KUKUMBUKA MIAKA YAKE ALIYOKAA GEREZANI,MUHIMU ALIWASAMEHE WOTE WALIOMTESA

Watu wengi walikuwa wakisema Mandela alikuwa gerezani anaishi kama mfungwa wa kisiasa lakini ukweli ni kwamba Mandela na wenzake waligonga kokoto na kuweza kulijenga Gereza.Ukiangalia na kusoma makala za Wapigania uhuru wa Afrika kusini unaweza kuona uchungu.Lakini mwisho Mandela akawa Rais wa kwanza Mweusi Afrika kusini.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS