KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 22 November 2012

TAJIRI WA CHELSEA ANAVYOBADILISHA MAMENEJA WA TIMU YAKE YA CHELSEA BILA KUWASIKILIZA WAPENZI WA CHELSEA.

Abromovich pichani ameisha wafukuza makocha wake kumi 10 tangu anunue timu ya Chelsea.Di mateo alikuwa sio chaguo lake ila wapenzi walimlazimisha kumchukua baada ya kutwaa ubingwa wa Ulaya.Nafikili Abrmovich yeye anataka Chelsea icheze kama Barcelona au Real Madrid mpira safi kabisa,sio mpira wa kubutua butua.Yetu Macho.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS