KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 30 November 2012

PALESTINA NJIA NZURI YA KUTAMBULIKA DUNIANI LAKINI MMMM

Palestina na madai yao sasa wapewa nafasi ya kuwa nchi mwangalizi wa Umoja wa mataifa lakini kupewa huko nafasi bado kuna vitendawili vingi ninavyojiuliza na wataalamu wengi duniani wanalizungumzia kwa undani,nimesikiliza Aljazeera tv na Magazeti mbalimbali kwangu ninaona kama CHANGA LA MACHO.
-Marekani wanalipinga na baadhi ya nchi za magharibi wakiwaambia Wapalestina wazungumzie      Amani na Israel.Kutokana na Palestina kutoitambua Israel ni tatizo litakalo dumu kwa muda na mwisho wake ni Vita.
-MUHIMU ni Nini kitafuata baada ya Palestina kuwekwa kwenye Umoja wa Mataifa maana hawawezi kuwepo kwenye Mahakama ya Kimataifa.
KWA UFUPI BADO NI SAFARI NDEFU TUOMBE MUNGU ILI AMANI IPATIKANE KWANZA. 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS