KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 22 November 2012

SHAMBULIZI LA ISRAELI KWA WAPALESTINA LINATISHA.NINA KITABU CHA MAMBO YA VITA NA ULINZI KITABU KINAITWA SPACEWARFARE AND STRATEGIC DEFENCE.WAISRAELI WANAZANA ZA KUJILINDA NA MAKOMBORA KAMA HAYO YALIYOPO KWENYE KITABU.

Shambulizi hili  limenisikitisha baada ya kuliona kwenye Tv jinsi kombora lilivyopiga likalipuka mara Tatu na kubakiza shimo hilo limeua watu 9 wa familia moja watu  wawili majirani na mtu mmoja amepona katika shambulio hilo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS