KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 15 May 2020

TOTTENHAM SPURS MCHEZAJI WAO HODARI DELI ALLI AVAMIWA NA MAJAMBAZI AKIWA NYUMBANI KWAKE ASUBUHI POLISI WALIFIKA NA KUANZA UPELELEZI WAO,WATU WAWILI WAKIWA WAMEJIFICHA USO WALIWEZA KUIBA SAA NA VITO VYA THAMANI

 mchezaji wa Tottenham spurs Delle Alli ambaye alivamiwa na majambazi kwenye nyumba yake akiwa na mpenzi wake.Delle Alli ambaye analipwa £ 150,000 kwa wiki.
 Dele Alli akiwa na mpenzi wake Ruby Mae

 Wezi walifanikiwa kuiba saa tatu zenye thamani ya sh Milion 500
Moja ya saa alizoibiwa Delle Alli

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS