KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 15 May 2020

CORONA UCHUMI UNASHUKA,WATU WAMEISHA KAA NDANI BILA KUTOKA NJE WIKI 8,SERIKALI YA UINGEREZA IMERUHUSU WAFANYAKAZI KURUDI KAZINI ILA KWA KUZINGATIA KANUNI ZA KUZUIA MAAMBUKIZI

Wafanyakazi waanza kurejea kazini lakini washauriwa kutumia usafiri kama kuendesha baiskeli kuepuka misongamano ili kurudisha hali mbaya ya uchumi inayokuja kujitokeza.Uchumi wa Uingereza umeshuka kwa asilimia 2 tangia vita ya pili ya dunia.
Hali ya uchumi katika ulimwengu itakuwa mbaya Zaidi kutokana na ugonjwa huu wa Corona,taarifa za hivi sasa Ujerumani nyenye uchumi imara katika nchi za Ulaya nayo umeshuka kwa asilimia 2.
Mungu tuponye na hili gonjwa.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS