KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Friday 20 February 2015

CHELSEA WABAGUZI WAANZA KUPEWA ADHABU.UBAGUZI WA RANGI KWA ULAYA NI KAZI KUBWA KUUSHINDA HIZO PICHA NI ZA TUKIO LA MWAFRIKA MFARANSA KUSUKUMWA NJE YA TRENI NA MASHABIKI WA CHELSEA JIJINI PARIS


 Jamaa aliingia kasukumwa nje na mashabiki wa Chelsea

 Hawa ndio wahusika watatu wameisha fungiwa wasiende kwenye mechi zote za mpira hapa Uingereza na Ulaya.Utashangaa kwa nini wanakatazwa?Majina yao na anuani zao na picha zao zipo kwenye rekodi za Club na chama cha Mpira.
 Wameisha mjua huyo Uingereza wakiisha kuona kwenye CCTV ushaidi tosha
 Huyu kasimamishwa kazi mpaka uchunguzi huishe.




No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS