KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 8 January 2015

UGAIDI WAITINGISHA UFARANSA WATU 12 WAUWAWA NA VIJANA WATATU WAKIWA NA BUNDUKI ZA AK7


 Pichani ni vjijana hao wawili wanaoshukiwa kuwa wauaji na wamepora katika kituo cha mafuta.


Vijana hao wakiwa na bunduki walivamia ofisi za gazeti lililo chora katuni za kumkashifu Mtume SAW kitambo na kuwaua wahariri wa gazeti la JE SUIS CHALIE kumi ofisini na kuwaua Polisi nje ya Ofisi Wawili.Viongozi mbalimbali wamelaani tukio hilo na wapo Pamoja na Ufaransa yenye Waislamu wengi Ulaya.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS