KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Saturday 20 September 2014

SCOTLAND WAZIRI MKUU ALEX SALMOND ABWAGA MANYANGA BAADA YA KUSHINDWA KWA UPANDA WA YES

 Matokeo yakionyesha NO wameshinda
 Akiutubia baada ya kushindwa Alex Salmond kwa huzuni na kutangaza kuachia madaraka ni pigo kwa chama chake cha SNP 
Hakutegemea kama watashindwa lakini wataalamu wa mambo ya siasa waliisha sema itakuwa pigo kwa chama chake kwa sababu watu wataangalia tena kwa undani kwa uchaguzi ujao.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS