KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Saturday 20 September 2014

SCOTLAND ILIKUWA KAMA CCM NA CHADEMA NA CUF MASHABIKI WA YES WALIKUWA NA SURA ZA UJEURI LAKINI WA NO WALIKUWA WATULIVU


 Waziri mkuuwa Scotland naye alionyesha kutowapenda watu wanaopiga kura za NO hapa alikuwa anaonyesha hapendi
Washabiki wa YES wakimzomea Shabiki wa NO ilikuwa ni vituko lakini mwisho wake NO walishinda.
Mashabiki wa YES wakiwa hawana raha ni Vijana wa Miaka 16 na 17 waliopiga kura kwa mara ya kwanza  inaonyesha hawana ujuzi wa kupiga kura na wapiga kelele mara nyingi uwa sio washindi.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS