KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Thursday 12 June 2014

IRAQ MAMBO BADO VITA INAENDELEA,VITA YA KUTEMBEA NA MAGARI YENYE MACHINE GUN KUBWA VITA YA JANGWANI MAONI YANGU

Saddam Husein alitumia Mabomu ya Sumu kuwapiga hawa jamaa kwa sababu ya Uwezo wao wa kupigana na Umoja wao,lakini bado haliwashindwa hawa Wakurdish jamaa wapo Uturuki,Ujerumani na sasa wamezagaa Ulaya yote na Wafanyabiashara wana Umoja wanalaani sana Serikali za Iraq Syria na Iran.
Hawa Wakurdish wapo kwenye nchi hizi za Iraq,Iran na Syria.Wanadai taifa lao wanaosema lilivunjwa.
Vita hizo zitaendelea ikiwa Syria na Iraq na Iran inazidi kuwa makini maana wakati wowote wataenda Iran.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS