KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Monday 26 May 2014

REAL MADRID VS ATLETICO MADRID MAGOLI YALIVYOKUWA YA KUTATANISHA

 Bale akifunga goli kwa kichwa baada ya winga Di Maria kuwatoka mabeki na kupiga mpira langoni.
 Dakika ya 88  Sergio Ramos anasawazisha goli ni ajabu kwa mpira wa miguu dakika 90 ndio mpira umeisha kabla ya hapo hakuna kitu.

 Kocha wa Real Madrid Carlo ancellotti akishangilia ushindi kwa nguvu zote ulaji ulaji Chelsea walimkataa.
Christiano Ronaldo anafunga kwa penati kwa kumalizia 4-1

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS