KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Monday 26 May 2014

PAPA FRANCIS AKIWA JERUSALEM UPANDE WA PALESTINA ALIENDESHA MISA JUMAPILI AKIWA NA RAIS WA PALESTINA MAHAMOUD ABBAS AMBAYE ALIKUWA MIONGONI WA WATU WALIOHUDHULIA NA KUPEANA MKONO WA AMANI NA PAPA KISHA RAIS WA WAPELESTINA ALIONDOKA KWENDA NAYE KUSALI ENEO HILO KABLA YA ADHANA


Papa alienda kuomba kwenye ukuta unaotenganisha Wapelestina na Wayahudi
 Misa ya wazi iliendeshwa na Papa
 Watu wa palestina wakimwenyesha Papa ukuta uliojengwa na Waisrael upande wa Palestina

Papa akiondoka kwenye viwanja ambapo alifanya Ibada Jumapili na kasha kwenda Israel upande wa pili kwa kuendelea na ziara yake inayoisha Leo Jumatatu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS