KARIBU SANA TOSA MAWE BLOG KWA HABARI MBALIMBALI TOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA | TANGAZA BIASHARA YAKO HAPA PIA TUTUMIE HABARI MATUKIO KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA SIMU: +447896103988 +447438590583 | E-mail: mwamfilingef@gmail.com NYOTE MNAKARIBISHWA SANA ASANTENI . | DO YOU NEED TO CREATE BLOG CONTACT US CLICK HERE | UNAHITAJI KUFUNGUA BLOG WASILIANA NASI BOFYA HAPA

Sunday 5 January 2014

EUSEBIO MACHINGA WA MSUMBIJI AFARIKI DUNIA MIAKA 71 YA UHAI WAKE.ALIZALIWA MSUMBIJI KISHA AKAENDA URENO KUCHEZA MPIRA NA KUWA NYOTA .

 Nikiwa nafahamu Mmachinga wa Msumbiji Eusebio alizaliwa Msumbiji 25-01-1942 na kwenda Ureno akawa mchezaji kwenye timu ya Benfica akapata zawadi ya viatu vya dhahabu na kuchukua vikombe mara 11.Hapa ndipo umaarufu wa Eusebio unapofahamika.
 Pele akimkabidhi Eusebio jezi yenye majina ya wachezaji kwa kumuenzi umaarufu wake.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...
KUPATA HABARI ZILIZOPITA BONYEZA OLDER POSTS